A+ Kiswahili KCSE Marudio

by Simon Ngige, Flora Nyakeri, Lydia Gitau


A+ Kiswahili KCSE: Marudio ni kitabu cha marudio kinacholenga watahiniwa wa 

KCSE. Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo wa maswali na majibu kwa kuzingatia 

mada zote zinazotahiniwa kulingana na mtaala wa KCSE.

 

Sifa kuu bainifu zinazokifanya kitabu hiki kuwa mwimo wa mwanafunzi 

anayetarajia kupata alama ya A+ katika mtihani wa KCSE-somo la Kiswahili ni 

kama zifuatazo:

  • Maswali na majibu ya papo kwa Napo kulingana na mpangilio wa mtihani wa Kiswahili, ngazi ya KCSE.
  • Maswali kabambe na majibu ya karatasi ya kwanza: 102/1; insha. Insha zote zinazotahiniwa kulingana na silabasi zimetotewa maswali na majibu
  • Maswali na majibu ya karatasi ya 102/2; matumizi ya lugha na isimujamii  ambapo maswali na majibu ya vipengee vifuatavyo yametolewa; ufahamu,  ufupisho(muhtasari), matumizi ya lugha na isimujamii.
  • Maelezo na maelekezo ya jinsi ya kujibu maswali ya vipengele vyote ili  mwanafunzi afahamu jinsi anavyoweza kupata alama za juu
  • Vifungu vyenye mada za masuala ibuka iii kwenda na wakati na kuwapa wanafunzi stadi bora za maisha kando na kupita mtihani wa KCSE
  • Lugha nyepesi isiyokanganya katika kujibu maswali wakati wa marudio
  • Mwongozo wa usahihishaji wa maswali ya karatasi mbalimbali(insha,ufahamu, ufupisho, matumizi ya lugha na isimujamii)
ISBN: 9789966312723 SKU: 2010127000659
KES 790
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect