Cheupe na Cheusi 4f

by Hamisi babusa


Cheupe anapotumwa msituni usiku, hana habari kuwa dada yake, Cheusi, pamoja na mama yake hawamtarajii nyumbani tena. Hata hivyo, kile ambacho Cheupe anakutana nacho msituni kinabadilisha maisha yake kabisa.Cheupe na Cheusi ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wa kusoma na kuandika.

ISBN: 9780195739480 SKU: 2010143000753
KES 261
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect