Falme tisa 8f

by Geoffrey Mung'ou


Ufalme Mkuu unatawaliwa na Mfalme Sultan!. Aidha zipo falme nyingine tisa zinazoongozwa na mfalme yuyo huyo. Hata hivyo, kuna fununu kuhusu njama za mapinduzi dhidi yake. Juu ya yote, twaamini kuwa ipo siku ambapo Mfalme atatutoa juani atupeleke kivulini Falme Tisa ni mojawapo ya hadithi katika Mradi wa Kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

ISBN: 9780195739329 SKU: 2010143000740
KES 360
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect