Fani ya Fasihi Simulizi kwa shule za Upili


Fani ya Fasihi Simulizi kwa Shule za Upili kimeandikwa kwa lengo la kumfafanulia mwanafunzi tanzu na vipera vya fasihi simulizi kwa njia angavu na nyepesi. Muhitaji yote ya silabasi ya shule za upili yameshughulikiwu kwa kina. Mada zimejadiliwa kwa lugha rahisi na mifano anuwai ya uchanganuzi kutolewa. Yapo maswali yaliyotolewa mwishoni mwa mada. Maswali haya yanatahini stadi zote za ufumbuzi. Mwishoni mwa kitabu kumetolewa majibu ya baadhi ya maswali ya mazoezi.

KES 957
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Assumpta K .Matei
ISBN 9780195736540
Publisher Oxford University Press
Weight (kg) 0.5
SKU2010127000479

Reviews

Leave a product review
or cancel