Hadithi isiyo na mwisho na hadithi nyingine


Katika hiki Kitabu cha Hadithi Isiyo Na Mwisho, mna hadithi fupi fupi ambazo zitaangazia wanafunzi mengi kuhusu lugha ya Kiswahili. Hiki kitabu kimetungwa kusaidia mwanafunzi kujifunza Kiswahili katika hali ya kujiburudisha. Kuna mengi ya kujifunza toka lugha, msamiati na hata utumishi wa misemo na methali. Mitindo tofauti ya ubunifu iliyotumiwa itawezesha mwanafunzi kuelewa mengi.

KES 210
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Baruch daniels
ISBN 996671773
SKU2010143000777

Reviews

Leave a product review
or cancel