Jinsi Chui Alivyopata Madoadoa

by Kola


Vitabu vya Nyota vimetungwa maksudi ili viwawezeshe wanafunzi katika Afrika Mashariki 
kujifunza lugha ya Kiswahili katika hali ya kuburudisha. Kuna mengi ya kujifunza, 
toka lugha, yaliyomo na hata mitindo tofauti iliyotumiwa. Watoto watajifunza haya yote.
Jinsi Chui Alivyopata Madoadoa ni mkusanyiko wa hadithi fupi. Katika hadithi hizi, 
tunasimuliwa juu ya asili ya matukio fulani fulani na yale yaliyotendeka kuyafanya yawe yalivyo leo. 
Kitabu hiki kimenuiwa kusomwa na wanafunzi wa Darasa la Tatu, la Nne na la Tano.
 

ISBN: 2010143000180 SKU: 2010143000180
KES 294
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect