Kachuma na Polisi Wezi

by Patrick Ngugi


Nicky Kachuma, kijana wa darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Toredi, amefukuzwa shuleni kwa kukosa karo. Akiwa njiani kuelekea nyumbani anashuhudia gari la benki likivamiwa na wezi na pesa zote kuibwa. Anawajulisha polisi wanaochangamkia jambo hilo. Je, watatekeleza wajibu wao au vipi? Je, Kachuma atauawa au ataokoa pesa kupotea? Soma ili ufurahie uhondo huo.

ISBN: 9789966472298 SKU: 2010143000174
KES 289
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review