Kalulu na Mti Mkavu 4e


Kalulu anampeleka ng'ombe wake sokoni kumuuza. Njiani, anapata mnunuzi wa ajabu ambaye ni mti wa mbuyu uliokauka. 
Itakuwaje mti uuziwe ng'ombe?
Kalulu na Mti Mkavu ni kitabu cha wanafunzi wa darasa la nne katika shule za msingi. Kitabu hiki kinalenga kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.
Mradi wa kusoma ni vitabu vya ziada ambavyo vinaambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

KES 261
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000742
Author Tangauko
ISBN 2010143000742
SKU2010143000742

Reviews

Leave a product review
or cancel