Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition


Kamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000 
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali 
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana. 

KES 1,183
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010127000832
Author Oxford
ISBN 9780195746167
SKU2010127000832

Reviews

Leave a product review
or cancel