Kamusi ya Semi


Kamusi ya Semi: Maana na Matumizi ni kanzi iliyosheheni semi nyingi kutoka maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati kunakozungumzwa Kiswahili. Kanzi hii aidha imejumuisha semi mpya ambazo zimeibuka kutokana na ukuaji na kuimarika kwa lugha ya Kiswahili. Kamusi hii itawanufaisha wapenzi wa lugha ya Kiswahili na kuwa mwenza muhimu kwa walimu na wanafunzi wa lugha ya Kiswahili popote walipo.Sifa nyingine zinazobainisha kamusi hii ni:

  • Idadikubwaya semi yazaidiya 4900,
  • Visa we zaidi ya 700,
  • Maana na mifano safi ya matumizi,
  • Ulinganishi wa semi zilizo na maana moja.

Kamusi hii itakuwa nyenzo muhimu na msingi wa kuujenga umilisi wako wa lugha ya Kiswahili.

KES 815
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Abel Mkota,fauzia sakara
ISBN 9789966773616
SKU2010127000483

Reviews

Leave a product review
or cancel