Kamusi ya Watoto umri 6-9

by Islam K. Islam


Msingi bora wa maneno kwa watoto wadogo. Kamusi ya kuaminika ya kuanzia kujifunza lugha ya Kiswahili.Maneno muhimu 1700 na zaidi ya Kiswahili. Maelezo wazi ya maneno Mifano ya namna maneno yanavyotumiwa katika sentensi. 
Zaidi ya picha 700 za rangi kumsaidia mtoto kuelewa maana za maneno Sehemu maalumu ya mchezo wa lugha na mazoezi

ISBN: 9780195737219 SKU: 2010127000491
KES 853
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect