Kiboko alivyochukia Chura


Paukwa Pakawa ni mfululizo wa visa, mikasa na ngano zilizotungwa ili kuwapa watoto wanaochipuka katika mafunzo, chanzo chema. Lugha imerahisishwa na matukio yamepewa msisimko utakaowafurahisha watoto wote wa nasari, pri-uniti hadi darasa la pili, huku wakijimudu katika kuifahamu lugha ya Kiswahili. Kiboko Alivyomchukia Chura ni hadithi ya marafiki wawili wanaokumbwa na njaa kwa sababu ya ukame na umaskini. Wanaamua kujitafutia kazi kwa tajiri mmoja mwanadamu. Wanapoajiriwa, wanashikwa na tamaa ambayo inatisha urafiki wao. Je, mambo yanakuwa vipi?

KES 202
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author H.Rajab
ISBN 9789966467171
SKU2010143000533

Reviews

Leave a product review
or cancel