Mentor Kielekezi cha Kiswahili Gredi 5


KIELEKEZI CHA MARUDIO YA KISWAHILI GREDI YA 5 KIELEKEZI cha marudio ya Kiswahili Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi kuelewa mfumo mpya wa elimu ya umilisi. Kitabu hiki:
- Kimeandikwa kumwezesha mwanafunzi kukuza na kujenga ujuzi na uwezo wa kutumia stadi za lugha (Kusikiliza na kuzungumza, Kusoma, kuandika na Sarufi). 
- Kimeandikwa kwa lugha rahisi na kutoa mifano mwafaka. 
- kimeshughulikia Masuala mtambuko kama vile: uraia, utangamano, elimu ya amani, stadi za maisha, mazingira na teknolojia. - Kina Mazoezi muhimu ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio. 
- Kina Zoezi la Tathmini mwishoni mwa kila sura. 
- Kina karatasi sita za Majaribio ya mitihani. 
- Kimeandikwa na waandishi wenye tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la Kiswahili katika shule bora nchini Kenya. Aidha, wanaelewa mfumo wa umilisi kwa jumla.

KES 640
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect