Kielekezi Cha Marudio ya Kiswahili 7
by Doris W. Njenga, Ken L. Chituyi, Norah M. Musyimi
- Kimezingatia kiKamilifu silabasi ya Kiswahili ya darasa la saba kama inavyoelezwa na Taasisi ya Ehmu ya Kenya.
- Yaliyomo yamegawanywa katika sura saba. Sarufi, Msamiati, Kusikiliza na Kuongeo, Kuandika (Insha), Mitungo, Ufahamu, Majaribu
- Kimetumia lugha nyepesi lakini pevu inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi
KES 550

International delivery
Free delivery on orders over KSh 2,000
Free click & collect