Kigogo (Story Moja)

by Story Moja


Tamthilia ya Kigogo inamulika baadhi ya masuala yanayoibuka katika nchi zinazoendelea za Bara la Afrika. Huku wakazi wa Sagamoyo wakijiandaa kuadhimisha siku ya uhuru utakaosherehekewa kwa mwezi mmoja na kujivunia `maendeleo makuu; Soko la Chapakazi, ambalo ndilo tegemeo la wengi jimboni, linafungwa ghafla. Je, viongozi wamelifunga kwa nia gani? Wakazi wa Sagamoyo wanaolitegemea kujipa riziki watafanya nini? Tamthilia hii inatoa picha halisi ya nchi inayojivunia miaka mingi ya uhuru. Je, uhuru huo unamfaidi nani? 

 

ISBN: 9789966066633 SKU: 2010129000193
KES 550
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

Average rating: 4

from 2 reviews

5 1 five star review
4 0 four star reviews
3 1 three star review
2 0 two star reviews
1 0 one star reviews
Add your review

edwin reviewed on 1 Feb 2020

2 of 2 customers found this useful.

kigogo

ni tamthilia ambayo mwandishi amewasilisha maudhui yakevyema na ikilinganishwa na hali halisi nchini

Add your review