Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 3


Hili ni toleo la nne la Kiswahili kwa Kidato cha Tatu, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha tatu katika mfululizo wa vitabu vinne vya Kiswahili kwa shule za upili.

Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya Kidato cha Tatu.

ISBN: 9789966101150 SKU: 2010127000340
KES 754
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect