Kitabu changu cha Kiswahili
Kitabu hiki kimeandikwa nu mwandishi mwenye tajriba pana ya kufundishc katika Shule za Chekechea nchini Kenya. Muundo wa kitabu hiki utamsaidia mwanafunzi kupata msingi imam wa elimu ya kiwango cha Chekechea. Mwanafunzi anahakikishiwa stadi muhimu zinazohitajika katika kujenga msingi dhabiti masomoni. Kitabu hiki kitamsaidia mwanafunzi:
- Kusoma vokali
- Kusoma silabi za vokali
- Kulinganisha picha na jina
- Kuchora picha ya jina
- Kutunga sentesi kutokana no picha Vitabu vingine katika msururu huu ni:
- Kujaza nafasi kwa vokali
- Kutunga maneno kwa vokali na silabi
- Kuandika maneno vizuri
- Kutunga sentesi kwa maneno
- Kinyume, Tarakimu na Wingi
KES 390
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author | Njoroge |
---|---|
ISBN | 9789966788924 |
SKU | 2010127000542 |