KLB Top Scholar Kiswahili Grade 7 (Approved)

by KLB


KLB TopScholar Kiswahili Gredi ya 7 (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Aidha, mwanafunzi wa Gredi ya Saba amekuziwa msingi madhubuti wa somo la Fasihi katika kitabu hiki.

ISBN: BK00000007945 SKU: BK00000007945
KES 522
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect