KLB Top Scholar Kiswahili Grade 7 (Approved)
by KLB
KLB TopScholar Kiswahili Gredi ya 7 (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Aidha, mwanafunzi wa Gredi ya Saba amekuziwa msingi madhubuti wa somo la Fasihi katika kitabu hiki.
KES 522
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect