Kovu Moyoni

by John Habwe


"Hapa duniani si Makao yetu. Makao yetu yako mbinguni... Juu hakuna maradhi wala hakuna kifo. Hakuna hata nondo wa kuiba chochote ghalani." Kovu Moyoni ni hadithi ya kusisimua inayosimulia matukio katika kijiji cha Siloko katika nchi huru ya Tandika. Inahusu mapambano ya mjane mmoja dhidi ya utawala dhalimu unaolinda na kulifadhili genge la Wanamgambo la vijana wanaoshambulia na kupora kijiji cha Siloko kwa kisingizio cha kuondoa watu wasio wenyeji. Serikali ambayo Boke anatarajia imlinde na mali yake inafeli katika jukumu lake la kimsingi na badala yake inalinda kundi lenye uwezo mkubwa la wanyakuzi wa ardhi na mibabe wa kivita.

ISBN: 978996655354 SKU: 2010143000758
KES 605
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect