Kufa Kuzikana


Ni hadithi ya urafiki kati ya vijana wawili, Akida na Tim, wanaotokakwenye makabila yenye uadui.Ni hadithi ya migogoro, migongano, vikwazo na vizingiti katika uhusianowao.Je, urafiki wao huo unaweza kuvistahimili vishindo hivyo?Je, ni urafiki wa kinafiki au una nguvu ambazo havishindiki?Inasimulia masuala nyeti kama vile ukabila na utamaduni, maadili namapenzi, usawa wa kijinsia na uhuru wa mtu binafsi, kwa uwazi na uchesiwa kupigiwa mfano.

KES 689
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Ken Walibora
ISBN 9789966497543
SKU2010143000058

Reviews

Leave a product review
or cancel