Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Grade 1

by Matei


Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya kwanza ni kitabu kilichoandaliwa kwa ustadi ili 4 kurahisisha uelewa wa mwanafunzi katika Gredi ya Kwanza kwenye mfumo huu wa umilisi.

Sifa za kitabu hiki

  • Kimeandikwa kwa wepesi wa maswali ili kumsaidia mwanafunzi kufanya mazoezi zaidi yanayofuata muundo wa umilisi.
  • Kinofuata kikamilifu mfumo mpya wa umilisi.
  • Kimefanyiwa utafiti wa kina zaidi wa maswali yaliyopo katika kila sura, mwisho wa kila sura na mwisho wa muhula.
  • Maswali yanayomsaidia mwanafunzi wa kiwango chochote kufanya mazoezi ili kujenga umilisi mbalimbali.
  • Maswali yana michoro na picha za kuvutia kurahisisha uelewa wa mada lengwa.
  •  Majibu ya Mazoezi yote yapo mwishoni mwa kitabu hiki. Majibu haya yanalenga mwanafunzi, mzazi au mlezi na mwalimu.
ISBN: 9789966572097 SKU: 2010127000814
KES 319
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect