Laana ya Mkufu
Mfalme Monamwezi hana muda mrefu wa kuishi. Anamrithisha ufalme mwanawe Kisangasanga. Mwanzoni, Kisangasanga anauendesha ufalme wa Watambele vyema hadi anapoenda kinyume cha maagizo ya baba yake. Ufalme unaanza kuporomoka. Mfalme Kisangasanga si mfalme wa wanadamu tena bali wa wanyama pangoni. Je, ataweza kurejea tena na kuendelea na uongozi? Laana ya Mkufu ni hadithi yenye ujumbe wa kipekee wa kumnasa msomaji yeyote anayeisoma.
KES 320
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC | 2010143000884 |
---|---|
Author | Queenex |
ISBN | 9789966075505 |
Weight (kg) | 0.2 |
SKU | 2010143000884 |