Majaribio ya Mtihani KCPE Kiswahili

by J. Mwashigadi, T, Abubakar, H. Mwangi, J. Ndege, J. Maloba


Kitabu hiki chenye sampuli hamsini za mtihani wa KCPE kwa mujibu wa silabasi mpya, kinalenga kumwandaa na kumnoa mwanafunzi barabara kwa mtihani. Kila karatasi kwenye kitabu hiki imeandaliwa kitaalam kwa kuzingatia msamiati, miundo, mitindo na mbinu zinazotumiwa katika kuandaa mitihani ya KCPE, ili kumweka tayari mwanafunzi kukabiliana na utelezi na changamoto katika maeneo yote ya KCPE—Kiswahili. 

Kwa mwalimu, kitabu hiki ni nyenzo ya kipekee ya kuwatathmini, kuwaboresha na kuwaandaa wanafunzi kwa mtihani. 

Bila shaka, mwanafunzi anayejiandaa kwa kutumia kitabu hiki, afikiapo mtihani wenyewe, hali yake haina tofauti na ile ya mwogeleaji wa maji makuu baharini kupewa 'changamoto' ya kubainisha umahiri wake kwenye kidimbwi. 

ISBN: 9789966499592 SKU: 2010127000345
Out of stock
KES 545

You can get an email alert when this product is back in stock.

International delivery
Free delivery on orders over KSh 2,000
Free click & collect