Malenga wa Ziwa Kuu
Malenga wa Ziwa Kuu ni kitabu kilichokamilika kwa manufaa ya wanafunzi wa Kidato cha Nne. Maswali na Mazoezi yaliyomo yatawasaidia wanafunzi katika kuupima uwezo wao wa kishairi. Makusudi ya utangulizi wake mrefu ni kumjulisha msomaji aina tofauti tofauti za mashairi. Vile, vile, utampa fununu juu ya historia ya ushairi na umuhimu wa mashairi katika maisha ya binadamu. Bila shaka kitabu hiki kitazipanua, bongo za wanafunzi juu ya ushairi na kumnufaisha yeyote yule anayejishughulisha na uwanja huu wa fasihi.
SKU | 2010129000027 |
---|
Reviews
Average rating: 5
from 1 review
5 |
1 five star review
|
---|---|
4 |
0 four star reviews
|
3 |
0 three star reviews
|
2 |
0 two star reviews
|
1 |
0 one star reviews
|
anonymous reviewed on 16 Oct 2020
Malenga wa Ziwa Kuu
It's a good book and it forms a good basis of Swahili Poetry.It brings a better understanding of poetry especially Swahili Poetry.The writer did an awesome job on that book.