Maneno ya Mwanzo

by Abdul m Gugu


Maneno ya Mwanzo ni kitabu kinachonuiwa kujenga msingi thabiti wa kusoma. Kitabu hiki kimekusudiwa wanafunzi waliomaliza shule za chekechea na kuanza masomo yao katika shule za msingi. Kitabu hiki kinafaa kutumiwa na wanafunzi wa darasa la kwanza.

ISBN: 9781957331348 SKU: 2010143000024
KES 249
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect