Maneno ya Mwanzo
by Abdul m Gugu
Maneno ya Mwanzo ni kitabu kinachonuiwa kujenga msingi thabiti wa kusoma. Kitabu hiki kimekusudiwa wanafunzi waliomaliza shule za chekechea na kuanza masomo yao katika shule za msingi. Kitabu hiki kinafaa kutumiwa na wanafunzi wa darasa la kwanza.
KES 249
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect