Mkola na Mwizi wa Vitabu

by Jackson Kalindimya


    Vitabu vya Nyota vimetungwa kwa lengo la kuwawezesha wanafunzi katika Afrika Mashariki kujifunza lugha ya Kiswahili. Lugha iliyotumiwa ni He yenye kuvutia na hadithi zenyewe ni za kubu-rudisha. Mkola na Mwizi wa Vitabu ni hadithi inayotusimulia kisa cha jinsi msichana mdogo shujaa alivyokabiliana na uhalifu wa wizi. Kisa hiki kitakusisimua na kukufundisha mengi.   

 

ISBN: 9966251588 SKU: 2010143000562
KES 313
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect