Msururu wa Mbayuwayu: Ipo siku
by Dowa
Natija na faraja vyote hutoka mbali. Nikipiga darubini nyuma ninaona jinsi maisha yalivyonidunga miiba mikali kila sehemu ya mwili wangu. Zipo siku nilikuwa ninatumia mbalamwezi kutalii vitabu vyangu usiku baada ya kukosa mafuta taa. Mwangaza hafifu nilioutumia pamoja na moshi uliotoka kwenye koroboi nilipokuwa nikisoma usiku, viliyaharibu macho yangu hadi leo ninavaa miwani...
KES 320
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect