MTP Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 3 (Approved)

by MTP


Boada ya kukitumia hiki kitabu, mwanafunzi ataweza: 

  • Kutumia mbinu zifaazo za usikivu katika mawasiliano katika mazingira yoke.
  • Kudhihirisha ufasaha wa kuzungumza kwa kiswahili. 
  • Kusoma kwa ufasaha na kufahamu aina zozote za maandishi ya Kiswahili. 
  • Kuelezea mawazo, hisia na tajiriba kwa maandishi ya mkono au mbinu nyingine yoyote ya uwasilishaji.
  • Kutumia sarufi ipasavyo katika mawasiliano. 
  • Kutumia msamiati ufaao katika mazingira yake kuwasiliana. 
  • Kuonyesha ukakamavu katika kuwasilisha masuala yanayomkabili na yonayokabili mazingira yake 
SKU: 2010127000731
KES 342
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect