Musa na Shamba la Shule


Wazo la kuanzisha shamba la shule linawafanya wanafunzi wa Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen kuandaa mgomo baridi. Kwa madai yao wenyewe, wako shuleni 'kusomea mitihani' wala si kuwa mashokoa wa mwalimu mkuu. Mzee Mukibi. Hata hivyo, hakuna aliye tayari kumkabili mwalimu mkuu kwa kuhofia kuonekana muasi.Masaibu ya Musa na marafiki zake yanazidi kufuatia 'kutoweka' kwa nguruwe dume, na kuku sita kuibwa. Mwalimu mkuu naye ameapa kufanya juu chini kuwanasa wezi.Musa na Shamba la Shule ni kitabu cha kumi na moja katika msururu wa Visa na Vituko vya Musa, vilivyoandikwa na Barbara Kimenye.

KES 534
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Barbara Kimenye.
ISBN 9780195739633
SKU2010143000725

Reviews

Leave a product review
or cancel