Mwongozo wa Nguu za Jadi-Queenex

by Paul Nganga Mutua, Clara Momanyi


Mwongozo wa Nguu za Jadi ni tahakiki iliyoandikwa kwa kuzingatia mahitaji ya wasomaji, wanafunzi, walimu na watafiti wa fasihi. Mwongozo huu umetoa maelezo ya kina kuhusu ploti na msuko, dhamira na falsafa ya mwandishi, maudhui, mandhari, wahusika; sifa na umuhimu wao, mbinu na mtindo wa lugha pamoja na maswali ya marudio ambayo ni kigezo muhimu cha kutathmini uelewa wa msomaji wa riwaya ya Nguu za Jadi.

 

Bila shaka, mwongozo huu ni tahakiki ambayo itamfaa mwanafunzi siku zote katika kumwelekeza kuhusu uchambuzi wa riwaya ya Nguu za Jadi na hata riwaya nyingine yoyote ile.

ISBN: 9789966141729 SKU: BK00000006941
KES 490
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review