Ningekuwa na Uwezo

by Mkangi


Haya ni baadhi ya maswali yanayowakereketa wananchi na viongozi wa Afrika leo. Mwandishi wa Ningekuzva na Uwezo anayapigia darubini maswali haya na mengine na kutusawiria namna Mwafrika asiyejiamini, asiyejijua wala kujithamini, anavyoweza kutapatapa kwenye "bara la giza". Je, awachwe katika hali hiyo au ashauriwe, aamshwe, na aonyeshwe kuwa anao uwezo wa kujimudu? Na yule atakayefanya hivyo yuko wapi? Je, uwezo huo anao? 

ISBN: 9780195734751 SKU: 2010143000592
KES 551
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review