Nipashe Kiswahili marudio kamili ya KCPE darasa la 7 na 8
NIPASHE KISWAHILI marudio kamili ya KCPE ni kitabu kilichoshughulikiwa na kuandikwa kwa utaalamu Mwingi ili kumwandaa mwanafunzi vilivyo kukabiliana na mtihani wa kiswahili katika KCPE.KARATASI ZOTE MBILI (Lugha na Uandishi) zimeshughulikiwa kupitia:-
- Fani mbalimbali za lugha na mifano ya matumizi.
- Maswali ya miaka iliyopita ya K.C.P.E.
- Maelezo ya kimsingi katika uandishi.
- Vigezo vya karatasi za K.C.P.E.
- Mseto wa maswali ya marudio.
Out of stock
KES 600

International delivery
Free delivery on orders over KSh 2,000
Free click & collect