Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi Grade 5


Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika. 

ISBN: 9789966479808 SKU: BK00000003307
KES 650
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect