Queenex Gamba La Kobe na Hadithi Nyingine 3B

by Pauline Kea


Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Tatu na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni: 
- Usalama 
- Kazi mbalimbali 
- Usafi wa mazingira

ISBN: 9789966141187 SKU: BK00000002283
KES 290
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect