Safari ya Ndotoni

by Ahmed


Safari ya Ndotoni ni kitabu mwafaka cha kishairi ambacho kitawasisimua watoto kando na kuwajengea msingi imara wa utunzi wa mashairi. Mwandishi ametumia lugha ya mvuto ili kueleza 'Safari' ya msichana fulani. Je, alisafiri vipi? Alifika alikotamani? Maisha ni safari ya ndotoni kama ilivyo katika hadithi hii. Hiki ni kitabu cha kupendeza kwa watoto na kitawasaidia ku.en ea maono katika maisha.

ISBN: 9966364668 SKU: 2010143000473
KES 250 KES 330
International delivery
Free delivery on orders over KSh 
Free click & collect