Sematongo na Hadithi Nyingine
by Yuda Komora
Sematongo na Hadithi Nyingine (Utamu Kolea 6E) ni kitabu kinachonuiwa kumpa mwanafunzi fursa ya kufanya mazoezi ya kusoma kwa ziada huku akijiburudisha na kujifunza mambo kadhaa muhimu. Kinaweza kutumiwa sambamba na kitabu chochote cha kozi.
KES 278
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect