Spotlight Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Grade 5
by Spotlight
Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 5 ni kitabu kilichoandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi uelewa wa mfumo mpya wa elimu wa umilisi. Sifa za kitabu hiki:
-Maswali yote ya Tathmini na Majaribio yanafuata muundo na ruwaza ya Baraza la Kutunga Mitihani Kenya (KNEC); hivyo yanampa mwanafunzi sura kamili ya tathmini ya shuleni na kitaifa.
-Kinafuata kikamilifu mfumo mpya wa umilisi.
-Kina majaribio tosha ya mwisho wa kila muhula.
-Kina tathmini ya mwisho wa mwaka inayotathmini kuafikiwa kwa malengo ya mwaka mzima.
-Maswali yana michoro na picha za kuvutia kurahisisha uelewa wa mada lengwa.
-Majibu ya mazoezi yote yapo mwishoni mwa kitabu hiki. Majibu haya yanamlenga mwanafunzi, mzazi au mlezi na mwalimu.