Tando la Tandabui
by Ali Attas
Mwanamfalme akiwa mawindoni anakutana na Bintimfalme anayemshika mkono na kumpeleka kwa wazazi wake. Mwanamfalme anajipata akiogelea kwenye maji ya chumvi mbele ya wazazi wa Bintimfalme.
Bintimfalme anamwomba Mwanamfalme akubali kuishi nao kwani ameshampenda. Mwanamfalme anakataa.
Je, ni nini kinachotokea? Burudika.
KES 267
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect