Taswira ya KCPE Kiswahili


Taswira ya KCPE Kiswahili ndicho kitabu mufti kinacholenga barabara maandalizi halisi ya mwanafunzi anayenuia na kuwania kufuzu katika mtihani wa Kiswahili kiwango chochote, hususan darasa la nane (KCPE) nchini Kenya au darasa la saba nchini Tanzania bila hatihati. Ni kitabu kilichotungwa na kusawirika kitaalam kutokana na utafiti wa kina unilingatia nguzo kuu tano za silabasi mpya:

KES 974
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Wallah Bin Wallah
ISBN 9789966002655
Weight (kg) 0.72
SKU2010127000313

Reviews

Leave a product review
or cancel