Tumbili na Mkia wake 5E


Dawa ya deni ni kapipa. Mtu anapotoa ahadi fulani kwa yeyote yule, hana budi kuitimiza. Kitabu hiki kinaeleza wazi janga lililompata `Mfalme' fulani baada ya kutotimiza ahadi aliyoitoa kwa raia wake. Kitabu hiki kimekusudiwa kuwasisimua watoto, kuzua uzoefu wa kusoma na vilevile, kuimarisha mbinu za uandishi na uzungumzaji miongoni mwa mengine.   

KES 261
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
SKU2010143000393

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review