Walenisi
by Mkangi
Walenisi ni riwaya inayomswairi Dzombo katika siku zake za hukumu. Dzombo anahukimiwa kifo kwa sababu ya hatia bandia. Anang'oa nanga katika Sayari, chombo kinachopaswa kumwua kwa ghafla. Hata hivyo, badala ya kummmaliza, chombo kinamwepusha na hukumu hiyo, na hatimaye kumpeleka katika ulimwengu tofauti na autokao. Anayoyaona huko ni ya kushangaza lakini yenye matumaini. Je Dzombo atarejea kwao? Na akirudi atakuwaje?
Reviews
Average rating: 5
from 2 reviews
5 |
2 five star reviews
|
---|---|
4 |
0 four star reviews
|
3 |
0 three star reviews
|
2 |
0 two star reviews
|
1 |
0 one star reviews
|
martin reviewed on 14 May 2018
Walenisi - Wale ni sisi na sisi ni wale
How i wish the world was like a set up planted in my mind by a book called walenisi in high school. Walenisi meant wale ni sisi na sisi ni wale. Everyone cared for the plight of everyone. All were equal..There were no social classes..The poor and the rich were unheard of. Democracy was on a level unheard on earth. Mkangi exposes the evils in society from basic family life to how government institutions are run, and shows just how incredible the alternative is, and how such change can be effected
martin reviewed on 14 May 2018
Walenisi - Wale ni sisi na sisi ni wale
How i wish the world was like a set up planted in my mind by a book called walenisi in high school. Walenisi meant wale ni sisi na sisi ni wale. Everyone cared for the plight of everyone. All were equal..There were no social classes..The poor and the rich were unheard of. Democracy was on a level unheard on earth. Mkangi exposes the evils in society from basic family life to how government institutions are run, and shows just how incredible the alternative is, and how such change can be effected