Zinguo la Mzuka
- ISBN: 2010129000192
- SKU: 2010129000192
Ujasiri, ari na azma inayozua michomo mikali ya kujipata upya pamoja na kurejesha urazini; inafanya watu waliozoea
kukimya na kutazama madhabahu yao yakinajisiwa kufurukuta. Hii ni tamthilia inayoangazia maswala nyeti kama: ujenzi wa
jamii mpya, uongozi, ukiritimba, ubinafsi na uozo mwingine wa kijamii. Isitoshe, inamulika uhusiano wa nchi huru za
Kiafrika na nchi za Magharibi.
Leo Sanja Leonard anatia guu tena katika uga wa fasihi na hii tamthilia inayozua hisia nzito. Mbali na kuwa mshairi,
baadhi ya kazi zake ambazo zimechapishwa ni pamoja na; Mimba Ingali Mimba katika diwani ya Mimba Ingali Mimba na Hadithi
Nyingine, Kasalia katika Shingo ya Mbunge na · Hadithi Nyingine na Kurunzi ya Kiswahili.
KES 348

Customer Reviews
This product does not have any reviews yet - be the first to write one.