Kijiji cha Ukame
by Story Moja
Wakazi wa Kijiji cha Ukame wanafyeka misitu na kujigawia mashamba. Muda si muda mvua inakosekana na wanakumbwa na athari za kiangazi. Hawana maji wala chakula. Mimea inanyaukia mashambani huku mifugo wakifa kwa kukosa lishe na maji. Je, watafuata ushauri wa Binti Kitabu kuhusu uhifadhi wa mazingira?
KES 350
KES 480
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPC | 2010143000904 |
---|---|
Author | Hamisi |
ISBN | 9789966066657 |
Weight (kg) | 0.1 |
SKU | 2010143000904 |