Kosa ni la Nani


Rashid na Amina wanatengana. Licha ya utengano huu, Amina anajifungua mwana wa kiume. Sitirika. Naye Asmin ni mke wa mkwasi fulani ambaye ni mgumba.Ana hamu ya kupata mtoto. Anajaribu bahati yake nje ya ndoa ambapo anakutana na Rashid. Wanajaliwa kupata mwana wa kike, Asilia. Sitirika na Asilia wanakutana na kusuhubiana pasi na kuja uhusiano uliopo baina. Asilia anakuwa mjamzito. Ili kuepuka fedheha, Sitirika anajisumisha baada ya kugundua kwamba alimtunga mimba dadake wa kambo. Je, chanda cha lawama kielekezwe wapi? 

KES 556
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000032
Author JKF
ISBN 9789966225474
Weight (kg) 0.2
SKU2010143000032

Reviews

Leave a product review
or cancel