Manguni na Makonde


Hadithi hii inawahusu vijana wawili, Mangumi na Makonde, ambao ni ndugu wa toka nitoke. Wawili hawa waliishi kwa uhasama mkubwa. Makonde anaondoka nyumbani na kutorokea nchi jirani mahali ambapo anakutana na makuu zaidi kuliko ya nyumbani kwao. Hakika ugeni tabu. Basi aliruka majivu akakanyaga moto. Huko alihukumiwa kunyongwa kwa kushukiwa kuwa jasusi. Babake anaelekea huko kujaribu kumwokoa. Yataishaje?

KES 250 KES 290
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPC2010143001101
Author Zachary Orori
ISBN 9789966140173
Publisher Queenex
SKU2010143001101

Reviews

Leave a product review
or cancel