Manguni na Makonde
Hadithi hii inawahusu vijana wawili, Mangumi na Makonde, ambao ni ndugu wa toka nitoke. Wawili hawa waliishi kwa uhasama mkubwa. Makonde anaondoka nyumbani na kutorokea nchi jirani mahali ambapo anakutana na makuu zaidi kuliko ya nyumbani kwao. Hakika ugeni tabu. Basi aliruka majivu akakanyaga moto. Huko alihukumiwa kunyongwa kwa kushukiwa kuwa jasusi. Babake anaelekea huko kujaribu kumwokoa. Yataishaje?
KES 250
KES 290
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPC | 2010143001101 |
---|---|
Author | Zachary Orori |
ISBN | 9789966140173 |
Publisher | Queenex |
SKU | 2010143001101 |