Mwongozo wa Nguu za Jadi (Climax)


Mwongozo huu wa RIWAYA YA NGUU ZA JADI UNAJUMULISHA VIJITABU VITATU VIKIWEMO:

1. Mwongozo wenyewe wa Nguu Za Jadi.

2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu Jinsi ya kujibu Maswali ya Kiswahili ya KCSE.

3. Mifano ya Maswali na Majibu Mwafaka.

Vitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahi-ni mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.

KES 522
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPCBK00000005812
Author Clara Momanyi
ISBN 9782123456865
Publisher Climax
SKUBK00000005812

Reviews

Leave a product review
or cancel