Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi - Chekechea (PP1)

by Mathias Momanyi, Yahya Mutuku


Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika.

ISBN: 9789966479464 SKU: BK00000005675
KES 719
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect