Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi - Chekechea (PP1)


Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lugha, kusoma na kuandika.

KES 719
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPCBK00000005675
Author Mathias Momanyi , Yahya Mutuku
ISBN 9789966479464
Publisher Phoenix
SKUBK00000005675

Reviews

Leave a product review
or cancel