Siri ya baba yangu Kitabu cha pili

by Yahya Mutuku


Fadhili amefanikiwa kuungana na mtu anayeamini ni baba yake mzazi. Ni mtu mwenye heshima na hadhi katika jamii, mtu anayesifiwa sifa zisizo za kawaida. Fadhili anatilia shaka sifa hizi na pindi wanaposafiri hadi pwani ndipo kiu ya kujua ukweli inapomzidia. Je, ni siri gani aigunduayo Fadhili kumhusu baba yake? Fungua ukurasa wa kwanza uanze kusoma.

ISBN: 9789966115003 SKU: 2010143000928
KES 350
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review