Akiba ya Wema na Hadithi Nyingine

by Timothy M. Arege


Diwani ya Akiba ya Wema ni mkusanyo wa hadithi za waandishi kutoka Afrika Mashariki. Hadithi hizi zinazungumzia masuala kama vile ndoa, familia, elimu, ajira, wema na utendakazi. Hizi ni hadithi zinazoonyesha umahiri wa watunzi wake. Mkusanyo huu una hadithi zenye mvuto na vionjo anuwai kimuundo na kimtindo.

ISBN: 9789914729979 SKU: BK00000007615
KES 480
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review